__1__ za lugha ni __2__ za kisanaa ambazo sisi wasomi hutumia katika gange yetu ya usanii. Fani hizi __3__si rahisi kuzibaini__4__ wasomi __5__uhakika wa fani hizi wataka __6__ kwani sisi swala la kufanywa na akina goigoi wale mabwege, bali ni shartyi msomi awe na __7__ katika fani hii. __8__ wahusika ni lazima kushirikiana kwani chambilecho wajadi __9__na waume hakuna__10__ na mume. 1. A. hekaya B. tamadhali C. kazi D. amani 3. A. angalau B.kama C.aghalabu D. lama 5. A. limbukeni B.wakongwe C.duni D. sugu 7. A. tajiriba B. takribani C.tajiriba D.takriba 9. A. kazi B.bamba C.bambua D.kula |
3.3. Kifungu cha Tatu Sehemu ya Tatu - Maswali
3.3. Kifungu cha Tatu Sehemu ya Tatu - Maswali
|